Deuteronomy 32:15
15 aYeshuruni ▼▼ Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia
Kum 33:26;
Isa 44:2 ).
alinenepa na kupiga teke;
alikuwa na chakula tele,
akawa mzito na akapendeza sana.
Akamwacha Mungu aliyemuumba,
na kumkataa Mwamba Mwokozi wake.
Copyright information for
SwhKC